Connect with us

Makala

Simba Sc Kuzindua Jezi Jumatano

Klabu ya Simba Sc itazindua jezi maalumu kwa ajili ya michuano ya kimataifa ya Kombe la Shirikisho barani Afrika siku ya Jumatano mchana katika ofisi za mdhamini wa jezi hizo Sandaland the only one Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Jezi hizo zinatarajiwa kuwa chache huku zitaizwa kwa bei ya rejareja moja kwa moja ili kuhakikisha hakuna walanguzi.

Simba sc inatarajiwa kuanza kampeni ya kufuzu hatua ya robo fainali ya michuano hiyo kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Onze de Marquiz ya nchini Msumbiji katika mchezo utakaofanyika Novemba 26 jijini Dar es Salaam katika uwanja wa Benjamin Mkapa.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala