Mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Clement Mzize amepata ofa nono ya kujiunga na klabu ya Zamaleck Fc ya nchini Misri kujiunga na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Ofa …
Sports Leo
Sports Leo
mwandishi wa habari hizi ana taaluma ya habari na mawasiliano kutoka chuo kikuu cha saut mwanza huku akiwa na uzoefu wa kuandika habari za michezo kwa zaidi ya miaka saba sasa.
-
-
Beki wa kati wa Simba Sc Abdulrazack Hamza (22) amefanya mazoezi na wachezaji wenzake kwaajili ya mechi ya pili ya Fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya RS …
-
Kipa wa klabu ya Simba Sc Aishi Manula amekua ni miongoni mwa magolikipa wa klabu hiyo waliosafiri na msafara wa timu hiyo kuelekea Visiwani Zanzibar kwa ajili ya mechi ya …
-
Uongozi wa Klabu ya Yanga Sc umethibitisha kwamba kiungo mshambuliaji wao, Stephine Aziz Ki atajiunga na klabu ya Wydad Casablanca baada ya klabu hiyo kumalizana na Yanga sc kwa dau …
-
Klabu ya Yanga sc imefanikiwa kufuzu hatua ya fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho la Crdb nchini baada ya kuifunga klabu ya Jkt Tanzania kwa mabao 2-0 katika mchezo …
-
Klabu ya Rs Berkane imetanguliza matumaini ya kutwaa taji la kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kuifunga timu ya Simba sc kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kwanza wa …
-
Kikosi cha klabu ya Yanga Sc kimeanza safari leo Mei 16Â kuelekea Mkoani Tanga leo Asubuhi Mei 16 , 2025 na tayari kimewasili mchana huu kwa ajili ya mchezo wao …
-
Uongozi wa Kaizer Chiefs utajaribu kutimiza ndoto za mashabiki wao kwa kumpata Feisal Salum kutoka klabu ya Azam Fc licha kuwa mchezaji huyo ana ofa nyingi ndani na nje ya …
-
Aliyewahi kuwa kocha wa klabu ya Simba Sc Roberto Oliveira (Robertinho) ambaye hivi majuzi alisimamishwa kazi na Rayon Sports kwa sababu za kimatibabu, amewasilisha malalamiko kwa Chama cha soka cha …
-
Shirikisho la Soka barani Afrika (Caf) limeamuru mchezo wa fainali ya pili ya kombe la Shirikisho barani Afrika baina ya klabu ya Simba Sc dhidi ya Rs Berkane kuchezwa katika …