All posts tagged "usajili"
-
Soka
/ 6 years agoAmbokile Atua Tp Mazembe
Mshambuliaji wa Mbeya City Fc Eliud Ambokile amejiunga na wababe wa soka la Afrika kutoka Kongo Tp Mazembe kwa mkataba wa...
-
Makala
/ 6 years agoAzam Wampiga Teke Chura
Klabu ya Azam Fc imeendelea kuwarahisishia maisha wachezaji wake waliomaliza mikataba na klabu hiyo baada ya kutangaza kuwatema na nyota hao...
-
Soka
/ 6 years agoKumekucha Yanga
“Jangwani kumekucha” ndio msemo unaoweza kuutumia kuelezea mishemishe za usajili zinazoendelea katika klabu hiyo yenye makao makuu Jangwani Kariakoo Dar es...
-
Makala
/ 6 years agoSimba Yasajili Beki Katili
Klabu ya Simba sc imekamilisha usajili wa beki Kennedy Juma Wilson aliyekua akichezea Singida United kwa mkataba wa miaka miwili ambapo...
-
Soka
/ 6 years agoMamilioni ya Makambo Yatua Yanga
Baada ya klabu ya Yanga Fc kumuuza mshambuliaji wake Heritier Ebenezer Makambo kwenda klabu ya Horoya Fc ya Guinnea basi mambo...
-
Soka
/ 6 years agoMshahara wa Kagere Kufuru Simba
Unaweza kusema ni kufuru,Baada ya mshambuliaji wa Simba sc mwenye asili ya Kinywaranda Meddie Kagere kusaini mkataba mpya wa miaka miwili...
-
Soka
/ 6 years agoTetesi za Usajili Barani Ulaya
Mshambuliaji wa Atletico Madrid Antoine Griezmann atajiunga na barcelona msimu ujao baada Mtendaji mkuu wa club ya Atletico Madrid kuthibitisha kuwa...
-
Soka
/ 6 years agoGriezman Sasa Rasmi Barcelona
Imebainika kwamba mshambuliaji wa Atletico Madrid Antoine Griezmann atajiunga na Barcelona msimu ujao baada ya kuitumika klabu hiyo ya jijini Madrid...
-
Makala
/ 6 years agoBoko Azua Utata Simba
Baada ya Simba sc kuthibitisha kumuongezea mkataba mshambuliaji John Boko wa miaka miwili utata umezuka baada ya taarifa kusambaa kuwa mchezaji...
-
Soka
/ 6 years agoUsajili Yanga Waanikwa
Klabu ya yanga ya jijini Dar es salaam imeripotiwa kukamilisha usajili wa wachezaji kumi mpaka sasa kutoka mataifa tofauti ya Afrika...