All posts tagged "Featured"
-
Soka
/ 3 years ago10BET yafanya ukarabati Jamhuri Dododma
Kampuni ya michezo ya kubashiri ya 10BET inayoidhamini klabu ya soka ya Dodoma Jiji imeamua kufanya ukarabati katika dimba la Jamhuri...
-
Makala
/ 3 years agoGoti lampeleka Yacouba Tunisia.
Klabu ya soka ya Yanga imethibitisha kumpeleka nchini Tunisia straika wake Yacouba Songne kutokana na marehana ya goti aliyoyapata katika mchezo...
-
Makala
/ 3 years agoVilabu EPL marufuku kuvaa jezi za ugenini X-mass.
Bodi inasimamia ligi kuu soka nchini Uingereza(Premier league) imekaa ombi la vilabu vinavyoshiriki ligi hiyo kuvaa jezi za ugenini katika mechi...
-
Soka
/ 3 years agoEMENALO kwenye mipango ya Newcastle United
Uongozi wa klabu ya Newcastle United unamtazama mkurugezi wa zamani wa ufundi wa Chelsea Michael Emenalo kuwa mkurugenzi wao mpya wa...
-
Soka
/ 3 years agoEDDIE kocha mpya Newcastle United
Klabu ya Newcastle United imemtangaza kocha wa zamani wa AFC Bournemouth Eddie Howe kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo akisaini...
-
Soka
/ 3 years agoXAVI atambulishwa rasmi Camp Nou
Klabu ya Fc Barcelona imemtambulisha kocha wao mpya Xavi Hernandes katika uwanja wa Nou Camp Jijini Barcelona katika tukio lililohudhuriwa na...
-
Soka
/ 3 years agoWATATU WATAJWA KUMRITHI SMITH ASTON VILLA
Makocha watatu wapo kwenye orodha ya klabu ya Aston Villa kuchukua mikoba ya aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Dean Smith...
-
Masumbwi
/ 3 years agoCARNELO aendeleza ubabe uzito wa kati.
Bondia wa Mexico Carnelo Alvarez amefanikiwa kutwaa ubingwa wa Unidisputed world super middleweight championships baada ya kumchapa kwa TKO bondia Caleb...
-
Soka
/ 3 years agoXAVI KOCHA MPYA BARCA
Klabu ya soka ya Barcelona imemtangaza mchezaji na nahodha wao wa zamani Xavi Hernandes kuwa kocha mpya wa timu hiyo yenye...
-
Soka
/ 3 years agoCAF yaitoa Biashara United shirikisho
Shirikosho la mpira wa miguu barani Afrika (CAF) limeiondosha rasmi klabu ya soka ya Biashara United ya Mara katika michuano ya...