Connect with us

Makala

Sweden Yataka Ligi Irejee

Vilabu vya Sweden vimeishtumu serikali yao kwa kutowapa ruhusa ya kurejea kwa ligi nchini humo kwani Ujerumani na England wameshaanza mazoezi na Bundasliga kuanza leo kucheza ligi yao rasmi.

Vilabu hivyo vinahitaji ligi hiyo irejee mwezi June 14 lakini serikali bado haijatoa ruhusa ya kuanza kwa ligi hiyo kutokana na kuhofia maambukizi ya virusi vya Corona.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala