Connect with us

Makala

Staa Yanga Sc Atua Fountain Gate Fc

Imefahamika kuwa aliyekua mchezaji wa zamani wa klabu ya Yanga sc Yusuph Athuman amejiunga na klabu ya Fountain Gate Fc yenye makazi yake Babati mkoani Manyara.

Staa huyo ambaye sasa yuko zake jijini Dar es Salaam akijiandaa kujiunga na timu yake hiyo mpya wakati wa usajili wa dirisha dogo linatakalo funguliwa mwezi disemba.

Fountain Gate Fc imemsajili Athuman akiwa mchezaji huru ambapo ataungana na washambuliaji Edger William na Selemani Mwalimu Gomez kuunda safu ya ushambuliaji ya klabu hiyo kuanzia mwezi ujao.

Yusuph anatarajiwa kuonyesha uwezo mkubwa kutokana na kuwa na kipaji bora alichokionyesha tangu akiwa Biashara United kisha Yanga Sc ambapo hakuonyesha kiwango kutokana na majeraha ya mara kwa mara.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala