Connect with us

Makala

Mghana Wa Yanga Atoa Tamko

Mshambuliaji mpya wa Yanga aliye sajiliwa dakika za mwisho kabla ya usajili wa dirisha dogo kufungwa ,Benard Morrinson raia wa Ghana amewaondoa hofu wanayanga kwa kuwaambia tatizo limeisha kwa upande wa ushambuliaji kwa kuwa tayari ameshatua yeye.

Benard Morrinson alisema kuwa amekuja amekuja Yanga kwa ajili ya kufanya kazi baada ya kuona kwenye upande wa ushambuliaji kuna tatizo hivyo atatumia nafasi atakayoipata kufunga na kutengeneza nafasi kwa wachezaji wenzake nao waweze kufunga.

“Ninaamini hadi viongozi wamefikia hatua ya kunisajili ni baada ya kuona kuna tatizo la ushambuliaji katika timu, ninaamini kama lisingekuwepo hilo basi nisingekuwa hapa, hivyo niahidi kuifungia Yanga mabao,” alisema Morrison aliyewahi kuzichezea Orlando Pirates na Motema Pembe.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala