All posts tagged "FIFA"
-
Soka
/ 5 years agoFifa Yaipiga Nyundo Kaizer Chiefs
Shirikisho la soka duniani(Fifa) limeipa adhabu ya kutosajili mchezaji yeyote klabu ya Kaizer Chiefs inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika ya kusini...
-
Soka
/ 5 years agoAl-Masry Wafungiwa Miezi 18
Shirikisho la kandanda duniani FIFA, limeifungia klabu ya Al Masry ya Misri kutosajili katika madirisha matatu yajayo kwa kosa la kumsajili...
-
Makala
/ 5 years agoRonaldo Akaribia 100
Mshambuliaji nyota wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo, amefikisha idadi ya magoli 98 katika timu yake ya taifa pamoja...
-
Soka
/ 5 years agoWenger Aula Fifa
Kocha wa zamani wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger ameteuliwa kuwa mkurugenzi wa maendeleo ya soka duniani na shirikisho la mpira...
-
Soka
/ 5 years agoMalinzi Kifungoni Miaka 10
Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) limemfungia kwa miaka kumi (10) aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania Jamal Malinzi baada ya...
-
Soka
/ 5 years ago27 Stars Kuivaa Guinea
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Ettiene Ndairagije ametaja Kikosi kitakachoingia kambini kujiandaa kwa mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Equatorial Guinea...
-
Soka
/ 5 years agoKarata ya Mwisho
Timu ya Chelsea imepewa nafasi ya kusikilizwa kwa rufaa yao ya kufungiwa kufanya usajili kwa madirisha mawili na shirikisho la soka...
-
Soka
/ 5 years agoTanzania Yapaa Viwango Fifa
Kufuatia shirikisho la soka duniani(Fifa) kutoa viwango vya mwezi oktoba timu ya taifa ya Tanzania imepanda viwango kwa nafasi mbili zaidi...
-
Soka
/ 5 years agoFifa Kuishushia Rungu Uganda
Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA) limetoa onyo kwa nchi ya Uganda kuwa litaifungia kujihusisha na masuala ya soka ikiwa serikali ya...
-
Soka
/ 6 years agoFifa Yakana Kumbeba Messi
Shirikisho la soka duniani (fifa) limekana kumbeba staa wa Argentina Lionel Messi ili kutangazwa mchezaji bora wa dunia kwa upande wa...