Connect with us

Soka

Okwi Anarejea Msimbazi

Taarifa kutoka ndani ya klabu ya Simba sc zinadai kuwa mshambuliaji Emmanuel Okwi yupo mbioni kurejea klabuni hapo baada ya kuvunja mkataba na waajiri wake timu ya Alexandria inayoshiriki ligi kuu nchini Misri.

Taarifa hizo nyeti zinadai kuwa Bilionea wa klabu ya Simba sc Mohamed Dewji “Mo” ndie aliyeshawishi kufanikisha dili hilo ili kuunda pacha hatari na straika Meddie Kagere.

Okwi aliondoka msimbazi msimu ulioisha ambapo alijiunga na klabu hiyo ya nchini Misri lakini amekua akikosa nafasi mara kwa mara.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka