Connect with us

Makala

Yanga Yapigwa Bao Dodoma Fc

Dodoma Fc imefanikiwa kunasa saini ya kiungo aliyekuwa akihusishwa kujiunga na Yanga kwa mda mrefu,Cleofas Mkandala kutoka TanzaniaPrisons.

Afisa habari wa Dodoma Fc,Ramadhani Juma amesema kuwa baada ya dirisha kubwa la usajili kufunguliwa,timu imeendesha zoezi hilo kwa mujibu wa mapendekezo ya benchi la ufundi na wengine waliokwisha kusajiliwa ni Michael Chinedu kutoka Alliance na Seif Karie kutoka Lipuli Fc.

Dodoma Fc imewaongezea mikataba wachezaji wao 11 wakiwa ni Emmanuel Mseja,Hussein Msalanga,Anderson Solomoni,Hassan Kapona,Mbwana Kibacha,Rajabu Seif ,Steven Mganga,Jamal Mtegeta,Deusdelius Kigawa,Santos Thomas na Khamis Mcha.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala