Connect with us

Makala

Salamba Atemwa Js Soura

Mshambuliaji Mtanzania Adam Salamba ametemwa na klabu yake ya Js Soura ya nchini Algeria kutokana na kiwango kisichoridhisha baada ya kukaa klabuni hapo kwa muda wa miezi kumi tangu asajiliwe.

Awali mchezaji huyo alikwenda Uarabuni kusakata soka la kulipwa kisha kurudi nchini kutokana na changamoto za ugonjwa wa Covid 19 ambapo alijiunga na Namungo Fc ambapo hakudumu sana akapata dili la kujiunga na Js Soura.

Inasemekana kuwa benchi la ufundi la klabu hiyo halijaridhishwa na kiwango cha mchezaji huyo tangu ajiunge na klabu hiyo hivyo kufikia uamuzi wa kuachana nae.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala