Connect with us

Makala

Ngassa Aingia Anga Za FDL

Tetesi zinaeleza kuwa aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga Sc,Mrisho Ngassa yupo kwenye rada za kutua Kitayosce Fc ambayo inajiandaa kushiriki ligi daraja la kwanza msimu ujao.

Ngassa aliyewahi kucheza ndani ya Kagera Sugar,Azam Fc,Simba ,Ndanda na Mbeya City amemaliza msimu akiwa na mabao manne huko Jangwani.

Mshambuliaji huyo hakufanikiwa kuongezewa mkataba na mabosi wa Yanga Sc kutokana na kutokuwepo kwenye mpango wa msimu ujao wa ligi kuu bara ,licha ya kuwa na mapenzi mengi na klabu hiyo.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala