Connect with us

Makala

Mugalu Fiti Kuivaa Yanga sc

Straika wa klabu ya Simba sc Chrispine Mugalu ameonekana kuwa fiti kuivaa timu ya Yanga sc katika mchezo wa ligi kuu baada ya jana kuingia uwanja kuivaa Kagera Sugar.

Awali kocha Sven Vandebroek alikaririwa akisema kuwa washambuliaji wake Mugalu na Meddie Kagere kuwa majeruhi hivyo wanaweza kutoshiriki mchezo huo wenye hamasa zaidi nchini.

Lakini jana staa huyo alionekana kuwa fiti akikabiliana na mikiki ya mabeki Ally Sonso na wenzake japo hakufanikiwa kufunga bao lolote.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala