Connect with us

Makala

Madrid “Out”Uefa

Klabu ya Real Madrid imeshindwa kutamba mbele ya Manchester City baada ya kukubali kipigo cha mabao 4-0 na kutolewa katika michuano ya klabu bingwa barani ulaya kwa jumla ya mabao 5-1.

Awali jijini Madrid katika mchezo wa kwanza timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na mchezo wa marudiano jijini Manchester ndipo dhahama ilipowakuta Madrid kwa kukubali kipigo cha mabao 4-0 huku Benardo Silva akigeuka mwiba kwa kufunga mabao mawili dakika za 23 na 37.

Manuel Akanji alifunga bao la tatu kwa City huku Julian Alvarez akijifunga dakika za mwisho za mchezo na kumfanya kocha Carlo Anceloti akiwa hana la kufanya akiawaacha City wakikata tiketi ya fainali ya michuano hiyo mikubwa barani Ulaya,.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala