Connect with us

Makala

Dili La Sane Lipo Namna Hii

Taarifa kutoka nchini Ujerumani na England zinadai kwamba klabu za Bayern Munich na Manchester City zipo kwenye mazungumzo ya mwisho kwa ajili ya kufanikisha usajili wa winga wa Manchester City na timu ya taifa ya Ujerumani, Leroy Sane.

Ripoti zinadai kwamba jambo hilo lipo kwenye hatua za mwisho kabisa kumalizika na pindi litakapoibuka tena litakuwa ni suala la kutangazwa rasmi kwa mchezaji huyo kuwa mchezaji wa Bayern Munich.

Kwa sasa ligi zote nchini zimesimamishwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vilivyoikumba dunia ila serikali imetangaza kuwa kuna uwezekano wa ligi kurejea mwezi Juni.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala