Connect with us

Makala

Alain Thiery Atua Azam Fc

ALAIN Thiery kutoka nchini Cameroon amejifunga kwa miaka miwili ndani ya Azam FC yenye makazi yake Chamazi leo Agosti 24.

Mshambuliaji huyo amesaini dili hilo akiwa kama mchezaji huru aliyemaliza kandarasi yake ndani ya Fortuna Du Mfuo ya Cameroon.

Mabosi hao wa Azam wamefunga kwa mchezaji huyu baada ya wengine kuwatambulisha jana kwenye siku yao(Azam Festival)iliyofanyika katika uwanja wao wa Azam Complex uliopo Chamazi huku mgeni rasmi akiwa Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa na msanii wa kizazi kipya wa bongo fleva,Alikiba na wasingeli akiwa Msagasumu.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala