Connect with us

Makala

Yanga Kuifuata Mtibwa Sugar Leo

Kikosi cha Yanga Sc kinachonolewa na kocha mkuu, Zlatko Krmpotic kinatarajia kuanza safari yake leo kueleleka Morogoro kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa uwanja wa Jamhuri, Septemba 27, Jumapili.

Yanga sc inawafuata Mtibwa ikiwa imetoka kushinda bao 1-0 mbele ya Kagera Sugar hivyo mchezo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili kusaka pointi tatu.

Huku pia Mtibwa Sugar ikiwakaribisha Yanga kwa mara ya kwanza ndani ya msimu wa 2020/21 ikiwa imetoka kushinda bao 1-0 mbele ya Ihefu mchezo uliochezwa uwanja wa Sokoine.

 

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala