Connect with us

Soka

Zidane Akomaa na Kante,Pogba

Kocha wa timu ya Real Madrid Zinedine Zidane ameshikilia usajili wa viungo Paul Pogba na Ngolo Kante kuhakikisha wanajiunga na mabingwa wa ulaya kwa mara tatu mfululizo Real Madrid ili kuimarisha eneo la kati la timu hiyo.

Zidane ametuma ofa ya paundi 86milioni kwa Chelsea ili kuwashawishi kumuuza kiungo huyo mwenye mapafu ya mbwa huku akimtoa kiungo mkolombia James Rodriguez kama chambo kuhakikisha dili hilo linafanikiwa mwezi january.

Huku kwa Pogba licha ya dili hilo kushindikana majira ya joto bado kocha huyo anataka kulifanikisha majira ya baridi huku manchester united wakishikiria msimamo wa kutaka dau la paundi 150 milioni ili kumuuza kiungo huyo mfaransa.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka