Connect with us

Soka

Yanga Wasalimu Amri

Uongozi wa Yanga umewarejesha kikosini nyota wake watatu, Cleofas Sospeter, Ali Ali na Raphael Daudi ambao walikuwa wametolewa kwa mkopo kwenda vilabu vya Singida United na Jkt Tanzania.

Cleofas na Lothi walipaswa kujiunga na kabu ya Singida United wakati Ali Ali alitakiwa akaitumikie JKT Tanzania,Hata hivyo nyota hao walipinga kutolewa kwa mkopo wakiomba wapewe nafasi ya kupigania namba kikosini huku Ali Ali akisisitiza kupelekwa Kmc kama ikishindikana.

Ali na Cleofas leo wameshiriki mazoezi maandalizi ya mchezo dhidi ya Lipuli Fc ambao utapigwa kesho kwenye uwanja wa Taifa huku Loth ikiwa hajaonekana.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka