Connect with us

Soka

Yanga Inogile

Kambi ya timu ya Yanga jijini Mwanza imezidi kunoga kufuatia kurejea kwa wachezaji ambao awali waalikua hajasafiri na timu kwa sababu mbalimbali.

Wachezaji hao ni Abdulaziz Makame na Metacha Mnata pamoja na Issa Bigirimana aliyekuwa mgonjwa tayari wamejiunga na kikosi hapa Mwanza na baada ya mazoezi ya siku mbili Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema vijana wake wako tayari kwa mchezo huo.

“Kwa kawaida naiandaa timu kwa ajili ya mchezo uliokuwa mbele yangu, hadi sasa timu iko vizuri na tayari kwa mchezo dhidi ya Mbao FC. Tunawaheshimu Mbao ni timu nzuri, lakini na sisi ni wazuri pia na tumejiandaa kwa ushindi”Alisema Zahera.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka