Connect with us

Soka

Son ajitia kitanzi Spurs

Mshambuliaji wa Tottenham Hotspurs Mkorea Heung-Min Son ametia saini mkataba wa kuemdelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2026.

Son alijiunga na Spurs mwaka 2015 akitokea Bayer Leverkusen ya Ujerumani,amesaini mkataba huo mara baada ya kushawishika na mradi wa kisoka wa timu hiyo na mkurugenzi wa klabu hiyo Fabio Paraticci.

Awali kulikuwa na hofu kwa mchezaji huyo kubaki hasa baada ya kuhusishwa kuondoka kwa mshambuliaji na nahodha wa timu hiyo Harry Kane.

Mchezaji huyo ameichezea Spurs michezo 197 ya ligi na kufunga magoli 70.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka