Connect with us

Soka

Samatta Afunga Ndoa

Staa wa Taifa stars na klabu ya Krc Genk ya nchini Ubeligiji Mbwana Samatta amefunga pingu za maisha na mwanamke aitwaye Neima Mgange ndoa iliyofungwa usiku huu eneo la kijichi nyumbani kwa bibi harusi.

Shangwe na vigelegele vilitawala mtaani hapo baada ya taarifa za Samatta kufunga ndoa na mwanadada huyo kusambaa na umati wa watu kufurika kumuona staa huyo aliyeambatana na ndugu,jamaa na marafiki wakiwemo mastaa Himid Mao na Thomas Ulimwengu.

 

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka