Connect with us

Soka

Molinga,Sadney Ndani Kuivaa Mbao

Mabingwa wa kihistoria klabu ya Yanga sc leo inashuka dimbani katika uwanja wa Ccm Kirumba kuvaana na mbao katika mchezo wa ligi kuu nchini ambapo kocha mwinyi Zahera tayari ametoa orodha ya wachezaji watakaoanza.

Katika nafasi ya golini Farouk Shikalo atasimama badala ya Metacha Mnata huku safu ya ulinzi ikiwa ni Juma Abdul,Ally Sonso,Ally Ally na Kelvin Yondan na eneo la kiungo litakua na Feisal Salum,Papy Tshishimbi,Mrisho Ngasa na Mapnduzi Balama wakati David Molinga na Sadney Urikhob wataongoza safu ya ushambuliaji.

Wachezaji Mybin Kalengo,Gustapha Simon,Ramadhani Kabwili,Patrick Sibomana,Rafael Daud,Abdulazizi Makame na Juma Balinya watakua benchi katika mchezo huo.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka