Connect with us

Soka

Matic Kumfata Conte

Kiungo wa klabu ya Manchester United Nemanja Matic yupo mbioni kuachana na klabu hiyo kwenda kujiunga na kocha wake wa zamani Antonio Conte katika klabu ya Inter Milan katika majira ya baridi.

Matic inadaiwa hafurahishwi na jinsi anavyowekwa benchi na kocha Olle Gunnar Solskjaer ambae amewapa kipaumbele kinda Scott Mctominay na Paul Pogba katika eneo la kiungo la timu hiyo.

Kiungo huyo aliyesajiliwa klabuni hapo na Jose Mourinho akiwa ametoka kushinda taji la ligi kuu akiwa chini ya Conte ameanza mara mbili tu katika mechi za ligi kuu msimu huu na yupo katika orodha wa wachezaji wanaowindwa na kocha huyo.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka