Connect with us

Soka

Makame Atua Rasmi Polisi

Kiungo wa klabu ya Yanga sc Abdulaaziz Makame amejiunga rasmi na klabu ya Polisi Tanzania akitokea klabu ya Yanga sc kwa mkopo wa miezi sita mpaka mwishoni mwa msimu.

Awali makame alisajili na Yanga sc misimu miwili ilkiyopita na anaelekea mwishoni mwa mkataba wake huku sababu kubwa ya kutolewa kwa mkopo ni kukosa nafasi katika kikosi cha kwanza baada ya kuwasili kwa Mukoko Tonombe.

Makame tayari amesharipoti katika mazoezi ya klabu ya Polisi Tanzania inayojiandaa na mchezo dhidi ya Azam Fc.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka