Connect with us

Soka

Lamine,Kazimoto Wafungiwa

Beki wa Lamine Moro amefungiwa mechi tatu na kupigwa faini ya shilingi laki tano (500,000/-) kwa kosa la kumkanyaga mchezaji wa JKT Tanzania, Mwinyi Kazimoto ambaye naye amefungiwa mechi mbili kwa kosa la kusababisha vurugu kwenye mchezo wao uliopigwa Juni 17, 2020 kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma.

Pia Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi imeeleza kuwa , Kamati ya Saa 72 pia imepokea malalamiko ya Azam Fc kuhusu uamuzi uliofanywa katika mchezo wao dhidi ya Yanga sc malalamiko ambayo yamepelekwa kwenye Kamati ya waamuzi.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka