Connect with us

Soka

Guardiola Hajiamini Man city

Pep Guardiola amedai kwamba Manchester City huenda ikamfuta kazi iwapo watashindwa kuilaza Real Madrid katika kombe la mabingwa Ulaya katika mchezo utakaochezwa february 26 mwaka huu.

Hata hivyo kufutwa kazi kwa Guradiola sio kitu rahisi kutokana na rekodi yake bora aliyoiweka baada ya kushinda mataji matano muhimu licha ya kushindwa kuiepeleka mbele ya robo fainali ya kombe la klabu bingwa katika misimu mitatu.

Guardiola alijiunga na Man city akitokea Bayern Munchen na licha ya kuwa na mafanikio katika timu mbalimbali alizofundisha hali imeonekana kuwa ngumu klabuni hapo baada ya kuwa na msimu mgumu huku akielekea kupoteza ubingwa wa ligi kwa Liverpool.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka