Connect with us

Soka

Chan Yasogezwa Mbele

Fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) yaliyotakiwa kufanyika mwaka huu nchini Cameroon yamesogezwa mbele na sasa ni rasmi yatafanyika mwaka 2021 mwezi januari.

Tanzania ni kati ya timu zilizofuzu michuano hii baada ya kumtoa jirani yake Kenya pamoja na Sudan huku Uganda na Rwanda nazo zimefuzu kwa upande wa timu kutoka Afrika Mashariki.

Hii ni mara ya pili kwa Caf kughairisha michuano hiyo ambapo ilihamishwa kutoka nchini Ethiopia kwenda Cameroon na ilipangwa kuanza mapema mwaka huu ambapo pia ilighairishwa mpaka April 25 ambapo sasa imehamishiwa January mwakani.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka