Connect with us

Soka

BEKI SIMBA ATUA YANGA

Wakati msimu wa Ligi Kuu Bara ukielekea ukingoni, tetesi za wachezaji kuhama klabu moja kwenda nyingine zimezidi kushika kasi.

Imeelezwa kuwa beki katili Lamine Moro raia wa Ghana aliyeichezea klabu ya Simba kwenye michuano ya Sportpesa Cup amewashatua Dar kumalizana na Yanga.
Moro alikuwa na Simba katika mashindano hayo ya SportPesa ikiwa ni sehemu yake ya majaribio.
Licha ya kucheza, Simba haikuonekana kuwa na nia naye na badala yake aliachwa akarejea kwao bila kupata mkataba.


Wakati msimu wa Ligi Kuu Bara ukielekea ukingoni, tetesi za wachezaji kuhama klabu moja kwenda nyingine zimezidi kushika kasi.

Imeelezwa kuwa beki katili Lamine Moro raia wa Ghana aliyeichezea klabu ya Simba kwenye michuano ya Sportpesa Cup amewashatua Dar kumalizana na Yanga.
Moro alikuwa na Simba katika mashindano hayo ya SportPesa ikiwa ni sehemu yake ya majaribio.
Licha ya kucheza, Simba haikuonekana kuwa na nia naye na badala yake aliachwa akarejea kwao bila kupata mkataba.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka