Connect with us

Soka

Aston Villa Waichapa Arsenal

Klabu ya Aston Villa ya Uingereza anayoichezea mtanzania Mbwana Samatta imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Arsenal na kufufua matumaini ya kutoshuka daraja nchini humo.

Bao hilo la dakika ya 27 lililofungwa na Mohamed Trezeguet aliyesajili majira ya joto kwa dau la paundi milioni 8.5 limeifanya Villa kupanda mpaka nafasi ya 17 katika msimamo huk wakihitaji ushindi katika mchezo unaofuata dhidi ya Westham siku ya jumapili huku wakiombea Watford afungwe na Arsenal.

“Tulikua na matarajio makubwa zaidi ya kumaliza nafasi ya 17 mwanzoni mwa msimu lakini tuna furaha kutulia hapo sasa” Alisema Smith kocha wa Aston Villa.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka