Connect with us

Makala

Zahera Aikomalia Yanga

Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera ametoa muda wa wiki moja kwa uongozi wa Yanga kumlipa stahiki zake,Zahera aliyerejea nchini wiki iliyopita ametishia kwenda kushitaki FIFA kama hatakamilishiwa malipo yake

Mkongomani huyo kwa sasa yuko nchini kwa takribani wiki ya pili ambapo ametishia kuwa atapeleka malalamiko FIFA na Yanga italazimika kumlipa hata gharama anazotumia sasa wakati akisubiri kulipwa stahiki zake.

Makamu Mwenyekiti wa Yanga Fredrick Mwakalebela amemtaka Zahera kuwa na subira kwani atalipwa.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala