Connect with us

Makala

Yanga,Molinga Ndoa Yaelekea Ukingoni

Sasa ni rasmi Uongozi wa klabu ya Yanga utaachana na Strika wao Mkongomani  David Molinga Falcao na nafasi yake kuchuKuliwa na Strika kutoka Tp Mazembe Owe Bonganya baada ya uongozi kufikia makubaliano ya kuvunja Mkataba na Striker huyo.

Chanzo cha ndani kinaeleza kuwa Molinga anaachwa kutokana na utovu wa nidhamu aliouonyesha hasa katika Mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Biashara Utd.

Molinga baada ya kutolewa alisusa na kuondoka akiwa kavaa nguo za kawaida baada ya kuvua jezi za Yanga .

Hiyo na nyingine ni Miongoni mwa sababu zinazofanya Staa huyo kuachwa na Yanga kwa tafsiri kuwa ana kiburi na alionesha dharau kwa kocha na uongozi wa Yanga.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala