Connect with us

Makala

Simba sc Kinara Afrika

Baada ya kufanikiwa kuifunga klabu ya Al ahly ya nchini Misri sasa klabu ya Simba sc imekaa kileleni mwa msimamo wa jumla wa makundi katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika.

Simba sc ambayo awali iliwafunga As vita ugenini 1-0 na jana pia ikaibuka na ushindi kama huo dhidi ya mabingwa wa Afrika Al ahly na kupelekea kujinyakulia alama 6 hivyo kukaa kileleni mwa timu zote 16 zinashirikimichuano hiyo mikubwa barani Afrika.Soma jedwali kamili la msimamo.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala