Connect with us

Makala

Nilichuniwa Siku Tatu-Pulisic

Cristian Pulisic mwenye miaka 21 anayekipiga kwenye klabu ya Chelsea akitokea ndani ya Borussia Dortmund amesema kuwa siku ya kwanza wachezaji wenzake walimchunia ndani ya gari walipokuwa njiani kuelekea mazoezini.

Nyota huyo aliyesajiliwa majira ya joto aliongeza kuwa hakuna aliyetaka kumfahamu, kumsemesha wala kumtakia kila la kheri kwenye maisha yake mapya jambo lililomfanya ajiulize mara mbili yupo sehemu gani.

“Siku tatu za mwanzo hakuna mchezaji aliyekuwa akinijali kila mtu aliniona ni mtu wa kawaida ila nilipoanza kufunga na kutoa pasi za mabao wakaanza kunipa ushirikiano,” alisema Pulisic

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala