Connect with us

Makala

MO Dewji Ajiuzuru Simba.

Mwenyekiti wa bodi ya Simba Mohammed Dewji ametangaza kujiuzuru nafasi yake katika bodi na kubaki kama mwekezaji.

Hii ni baada ya Simba kushindwa kuchukua Kombe la Mapinduzi kwa kufungwa na Mtibwa Sugar bao 1-0 na vijana hao kunyakua ubingwa katika uwanja wa Amani visiwani Zanzibar.

“Ni huruma Simba hawajaweza kushinda mchezo huu baada ya kuwalipa mishahara ya karibu bilioni 4 kwa mwaka ,hivyo najiuzuru kama mwenyekiti wa bodi na nitabaki kama mwekezaji Simba nguvu moja nitazingatia kukuza miundombinu na taaluma ya vijana “Alisema Mohammed Dewji.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala