Connect with us

Makala

Ligi Kuu Zanzibar Kuendelea Kama Kawaida

Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF) limebainisha kuwa endapo hali itaruhusu na serikali kuruhusu kuendelea kwa michezo visiwani humo, basi ligi hiyo itaendelea kama kawaida baada ya kusimamishwa kwa muda kufuatia mlipuko wa virusi vya Corona visiwani humo .

Serikali ilisimamisha shughuli zote za kimichezo nchini kote ili kupambana na virusi vya Corona vilivyoikumba Dunia, lakini hivi karibuni Rais John Pombe Magufuli aligusia nia yake ya kuruhusu ligi iendelee wakati akimuapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria .

 

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala