Connect with us

Makala

Kisa Uefa, Mastaa Huenda Wakasepa

Mshambuliaji wa wakidachi ,Memphis Depay ameripotiwa anaweza kuhama Olympique Lyon baada ya timu hiyo kushindwa kufuzu michuano ya Ulaya kutokana na msimu wa Ligue 1 kusitishwa na bingwa kutangazwa PSG .

Lyon iliyokuwa nafasi ya 7 imeshindwa kupata tiketi ya kucheza michuano ya Ulaya kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 23 baada ya ligi hiyo kuhitimishwa mapema kutokana na janga la Covid-19 na sasa wametishia kwenda mahakamani.

Hata hivyo mmiliki wa klabu hiyo, Jean-Michel Aulas tayari ameibua wasiwasi wake huenda wakapoteza wachezaji wao mastaa akiwamo Depay kama hawatawapa nafasi ya kucheza soka la Ulaya .

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala