Connect with us

Makala

Duchu Wa Lipuli Atua Simba

David Kameta ‘Duchu’ ametambulishwa rasmi leo Agosti 15 ndani ya kikosi cha Simba akiwa amesaini dili la miaka miwili akitokea klabu ya Lipuli Fc.

Duchu akiwa Lipuli ambayo itashiriki ligi daraja la kwanza msimu ujao alitupia mabao matatu na kutoa jumla ya pasi saba kwa msimu wa 2019/20.

Simba Sc inazidi kukisuka vyema kikosi chao kwa ajili ya msimu wa 2020/2021 licha ya kuwa wametwaa taji la ubingwa kwa msimu uliopita na Kombe la Shirikisho (ASFC).

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala