Connect with us

Makala

Corona Yamkwamisha Mbappe

Klabu ya Real Madrid ilikua katika nafasi nzuri ya kukamilisha usajili wa Mshambuliaji Kylian Mbappe kutoka Psg kwa mujibu wa kuingo wa zamani wa klabu ya Psg Jerome Rothen.

Inadaiwa kocha Zinedine Zidane anamhitaji mshambuliaji huyo kwa udi na uvumba ili kuboresha safu ya ushambuliaji ambayo imeyumba tangu kuondoka kwa Cristiano Ronaldo lakini janga la Virusi vya Corona ndio linalichelwesha dili hilo.

Mbappe ana mkataba na Psg mpaka mwaka 2022 lakini haonyeshi dalili za kuongeza mkataba licha ya juhudi za klabu hiyo kumshawishi aongeze.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala