Connect with us

Makala

Carlinhos Aanza Mazoezi Rasmi Yanga

Carlos Stenio Fernandez Guimaraes ‘Carlinhos’ambaye ni kiungo kipya ndani ya Yanga Sc ameanza kujifua rasmi ndani ya kikosi chake jana mara baada ya kumalizana na uongozi wa yanga katika hatua za usajili.

Yanga Sc ilianza mazoezi Agosti 10, Uwanja wa Chuo cha Sheria ikiwa ni kwa ajili ya maandalizi ya ligi kuu bara inatarajiwa kuanza Septemba 6 ambapo mchezo wa kwanza kwa Yanga itakuwa dhidi ya Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa.

Carlinhos ameonekana akiwa ni mwenye furaha mazoezini baada ya kukaribishwa na wachezaji wenzake ambao tayari walishaanza mazoezi ikiwa ni pamoja na Tuisila Kisinda, Tonombe Mukoko.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala