Connect with us

Makala

Azam Fc Kujipima Dhidi Ya KMC Leo

Azam Fc iliyochini ya kocha mkuu Arstica Cioaba ambaye pia ni raia wa Romania inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC leo majira ya saa 1:00 usiku katika uwanja wao uliopo Chamazi,Azam Complex.

KMC ilikuwa na mchezo wa kirafiki jana na Simba Sc Uwanja wa Uhuru ambapo ilipoteza kwa kufungwa mabao 3-1 hivyo leo watacheza mchezo wa pili na Azam Fc ambao waliwapiga mabao 2-1 Namungo Fc kwenye mchezo wa kirafiki siku ya Azam Festival.

Lengo la mchezo wa leo ni kujiweka sawa kwa ajili ya ligi kuu bara inayotarajiwa kuanza Septemba 6 ambapo Azam Fc watafungua pazia na klabu ya Polisi Tanzania.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala