Connect with us

Soka

Mastaa Wapya Kutua Yanga

Klabu ya Yanga sc itaanza kupokea mastaa wapya kwa ajili ya msimu kuanzia kesho jumatatu baada ya ligi kuu kumalizika rasmi hii leo.

Mastaa hao wanaokuja kusaini mikataba ya kukipiga klabuni hapo wataanza kuwasili nchini kwa ushirikiano mkubwa kati ya kamati ya usajili ya klabu hiyo pamoja na kampuni ya Gsm iliyojitolea kuisaidia klabu hiyo ambayo ni mabingwa wa kihistoria nchini.

Sogne Yacouba ni moja ya mastaa wanaotajwa kuwasili nchini akitokea nchini Ghana baada ya kumaliza mkataba na klabu ya Asante Katoko aliyokua akiichezea na sasa ni suala muda tu kabla ya kuja kukipiga jangwani.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka