Connect with us

Soka

Kiingereza Chamnyima Dili Zahera

Kocha wa zamani wa Klabu ya Yanga Mkongo Mwiny Zahera amekataa kazi ya kuifundisha klabu ya Township Roller ya nchini Botswana baada ya kutofahamu kuzungumza lugha za kiingereza.

Zahera ambaye anayeishi nchini huku akienda Ufaransa na Kongo mara chache kuangalia familia na biashara anazungumza kwa usahihi lugha za kifaransa na kiswahili wakati akiwa hajui kiingereza ambacho ndio kinatumika sana nchini Botswana hivyo kushindwa kukubali dili hilo.

“Nimepigiwa simu na wakala kutoka Botswana akinieleza kwamba Klabu hiyo inatafuta kocha nakusema kwamba, vile nalikwenda kule na Yanga sc ndio wale viongozi wawo walinanii.. waliniomba nasikiya” Ameendelea Zahera.

“Tukasumiliana naye nikamueleza kwamba Boo, mi siwezi kunanii… Kuenda kule ku Botswana sababu sijuwe kuzungumza nanii … Kingereza kwa hiyo itakuwa shida kwangu kuenda kule” Alisisitiza Zahera

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka