Connect with us

Soka

Mwamnyeto Bado Siku Tu Yanga

Kwa mujibu wa bosi anayeshughulikia masuala ya usajili ndani ya klabu ya Yanga Eng.Hersi Said bado siku kadhaa tu watamtambulisha beki kisiki kutoka klabu ya Coastal Union Bakari Nondo Mwamnyeto katika klabu hiyo yenye makao makuu Jangwani Kariakoo.

Bosi huyo wa Gsm kampuni inayojitolea kuihamisha Yanga kwenda mfumo wa mabadiliko alisema hayo leo wakati akifanya mahojiano na kitua cha Wasafi Fm ambapo aliulizwa swali na mwandishi na ndipo alipofunguka kuhusu suala hilo.

“Nikuhakikishie hatujawahi kushindwa lakini kwa sasa Mwamnyeto sio mchezaji wa Yanga wala Simba ila kuna siku utamtambulisha hapa”.

Klabu hiyo imekua ikihusihwa na usajili wa beki huyo aliyejihakikishia namba katika klabu yake mpaka timu ya Taifa ya Tanzania.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka