Connect with us

Makala

Nimeikumbuka Familia Yangu-Da Silva

Raia wa Brazil ,Willian Borges da Silva ambaye ni mchezaji katika timu ya Chelsea amewaomba mabosi wake ruhusa ya kuondoka London na kuifuata familia yake nchini Brazil.

Da Silva mwenye miaka 31 amesema kwa sasa ameikumbuka familia yake , hali ya kuwa mpweke muda mrefu imemchosha jambo linalomfanya aikumbuke familia yake.

“Nimekaa mbali na familia kwa muda mrefu, mimi nipo London kwa sasa familia yangu ipo Brazil nahitaji kwenda kuiona na kuwa karibu nao hali ya upweke inaumiza,” alisema Willian

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala