Connect with us

Makala

Niyonzima Aisaidia Yanga Kutinga Robo Fainali

Haruna Niyonzima ambaye ni kiungo katika timu ya wananchi Yanga Sc amekiongoza kikosi chake kutinga robo fainali baada ya kufunga bao 1-0 dhidi ya Gwambina katika uwanja wa Uhuru.

Bao la ushindi lilifungwa dakika ya 45 kabla ya kwenda mapumziko kwa shuti kali alilopiga Niyonzima akiwa nje ya 18.

Uimara wa mlinda mlango wa Yanga Metacha Mnata umesaidia kipindi cha pili cha mchezo Gwambina Fc kushindwa kurudisha bao na ushindi kubakia Yanga.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala