Connect with us

Makala

Stars Yatajwa,Wapya Kibao

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania bara (Kilimanjaro stars) kitakachoingia kambini kujiandaa na michuano ya chalenji kimetajwa ambapo majina ya wachezaji wapya wamesheheni.

Kikosi hicho kitakachokua chini ya kocha mkuu Ettiene Ndayiragije kimesheni majina ya mastaa 32 huku pia baadhi ya majina mageni kama Mwita Gereza,Zawadi Mauya na Yusuph Mhilu huku pia Aishi Manula naye akirejeshwa baada ya kutokuwem0 kwa muda.

Kikosi kamili ni>>

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala