Connect with us

Soka

Aussem Atimka Simba sc

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Patrick Aussems ameondoka leo asubuhi kuelekea nyumbani nchini Ubelgiji kwa kile kilichoelezwa kuwa ana matatizo ya kifamilia.

Habari kutoka klabuni hapo zinasema kuwa Aussems atakuwepo nchini humo kwa siku kadhaa na anategemewa kurejea kabla ya Novemba 24,ili kuiwahi mechi ya ligi kuu dhidi ya Ruvu shooting.

Kuondoka kwa kocha huyo mkuu kunamaanisha kwamba Kocha msaidizi Dennis Kitambi ndiye anayesimamia mazoezi kwa sasa akishirikiana na kocha wa viungo.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Soka