Wednesday, May 14, 2025
Home Soka Okwi Hali Tete Misri

Okwi Hali Tete Misri

by Sports Leo
0 comments

Mshambuliaji wa zamani wa timu ya Simba sc Emmanuel Okwi amekumbwa na ukame wa mabao baada ya kucheza mechi tatu za ligi kuu nchini Misri na kushindwa kufunga bao.

Okwi anayeichezea klabu ya Al Ittihad ya nchini humo mpaka sasa amecheza mechi hizo huku mbili akimaliza dakika 90 na moja akicheza kwa dakika 65 lakini hajafunga mpaka sasa kinyume na matarajio ya wengi baada ya kufanya vizuri akiwa nchini.

Okwi alicheza dhidi ya Zamalek na El Gouna kwa dakika zote tisini na hakufunga bao licha ya timu yake kupoteza kwa bao 1-0 huku mechi dhidi ya Al Masry wakishinda kwa bao moja huku wakishika nafasi ya tano kwenye ligi baada ya kuwa na pointi 6 huku Al Ahly wakiongoza ligi kwa pointi 9.

banner

You may also like

Leave a Comment

Soledad is the Best Newspaper and Magazine WordPress Theme with tons of options and demos ready to import. This theme is perfect for blogs and excellent for online stores, news, magazine or review sites.

Buy Soledad now!

Edtior's Picks

Latest Articles

u00a92022u00a0Soledad.u00a0All Right Reserved. Designed and Developed byu00a0Penci Design.