Connect with us

Makala

Amunike Aliamsha Dude

Aliyekua kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars) Emmanuel Amunike amelishitaki shirikisho la soka nchini (Tff) kwa shirikisho la soka duniani (Fifa) kutokana na kutolipwa stahiki zake.

Kocha huyo raia wa Nigeria anayeishi nchini Hispania alitimuliwa na Tff baada ya kuiongoza Taifa stars kufanya vibaya katika michuano ya mataifa ya Afrika (Afcon ) yaliyofanyika nchini Misri.

Taarifa iliyotolewa na mtandao wa Completesports.com na Punching.com inaonesha kocha huyo amefikisha malalamiko yake Fifa ili kuweza kupata utatuzi baada ya kusubiri malipo hayo kwa muda mrefu toka mwezi julai.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

More in Makala